IDIRIS HEAD OF HOUSE BBA HOTSHOTS

Idris akiwa ndani ya jumba la Big Brother Hotshots.
MSHIRIKI wa Tanzania aliyebaki ndani ya jumba la Big Brother, Idris ambaye ni mpiga picha kutoka jijini Arusha, ameshinda kuwa kiongozi wa jumba hilo 'Head of House' wiki hii.
Mr. 265, Frankie, Nhlanhla na  Idris  walikuwa washiriki katika shindano la Ghandour Putt-Putt Golf Course Tournament kumtafuta kiongozi wa jumba hilo wiki hii.
Katika shindano aliyepiga mpira mara chache  zaidi ndiye aliyeibuka mshindi na kumpa faida ya kutokuchaguliwa kutoka ndani ya jumba hilo kwa wiki ijayo.
Previous
Next Post »

ConversionConversion EmoticonEmoticon

:)
:(
=(
^_^
:D
=D
=)D
|o|
@@,
;)
:-bd
:-d
:p
:ng