
Tyga ametumia twitter kutufahamisha kuwa wimbo mpya utaitwa “Nothin’ Like Me” Na kashirikishwa Ty Dolla $ign na wimbo umetayarishwa na producer DJ Mustard.
Mwezi wa pili wimbo wa 'Bitches' ulivuja na baadae Chris na Tyga walionekana studio na msanii Boosie Badazz. Album ya Fan Of A Fan itatoka 2015 baada ya kutoka kwa album ya The Gold Album: 18th Dynasty ya Tyga mnamo December 13.
Tyga pia ataungana na Chris na Trey Songz kwenye ziara ya 'Between The Sheets' inayoanza January.
ConversionConversion EmoticonEmoticon