YOUNG JEEZY AKUTWA NA AK-47


Rappa Jay Wayne Jenkins 'Young Jeezy'.
MWANAMUZIKI wa Hip hop nchini Marekani, Jay Wayne Jenkins 'Young Jeezy' anashitakiwa kwa kukutwa na silaha ya kivita aina ya AK-47

Silaha ya kivita aina ya AK-47 kama aliyokutwa nayo Jeezy.
Staa huyo akiwa na wenzake watano walikutwa na silaha hiyo kwenye basi walilokuwa wanasafiria katika ziara ya msanii huyo majuzi nchini Marekani. Baada ya kunaswa na silaha hiyo, hakuna mtu yeyote aliyekiri kuimiliki hivyo wote sita wanashitakiwa kwa kosa hilo.
Previous
Next Post »