Familia Yaweka Wazi Jinsi kifo Cha Secky wa Lulu Michael Kilivyotokea...Ukweli Huu Hapa

Familia ya marehemu Lusekelo Samson Mwandenga 'Seky' imeweka wazi chanzo cha kifo cha marehemu baada ya kuzagaa habari mitandaoni kuhusu chanzo cha kifo chake kuwa Lulu Michael Amehusika..

Familia hiyo imeeleza kuwa marehemu aliumizwa na kiti cha kioo akiwa kambeba mtoto wake nyumbani kwake kisha akapelekwa hospitali na baadaye kufariki dunia akiwa hospitali.

Enzi za uhai wake, marehemu alikuwa mdau mkubwa wa Bongo Movies na Bongo Fleva, hivyo msiba wake umegusa tasnia hiyo.

Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu Secky mahali pema peponi. AMEN.
Previous
Next Post »