How Come Hizi Ajali Zitokee Kwa Kiasi Kikubwa Hivi Kipindi Hichi na Kuua Watu Wengi ?


Siku hizi ajali zimekuwa nyingi sana barabarani tena nyingi zikihusisha mabasi ya abiria kugongana na lori au basi kwa basi na kusababisha ndugu zetu wengi kupoteza maisha.. Ukifatilia kwa makini utaona nyingi zinasababishwa na Madereva wetu ku-overtake gari la mbele yake sehemu zenye hatari.. Hiii inasikitisha sana maana watu wengi wanapotea kwa uzembe mdogo tu.
Je haya pia ni mapenzi ya Mungu kuwa watanzania wapoteze maisha kwa ajali zisababishwazo na uzembe barabarani pamoja na mwendokasa? 
Kwa upande wako wewe, una lipi la kusema juu ya hili?

Previous
Next Post »