KAULI YA AUNT EZEKIEL BAADA YA MASHABIKI KUMTUKANA WEMA SEPETU ETI HAZAI NA SABABU KUBWA NI ETI WEMA ALISHATOA MIMBA NYINGI


Ukiacha yote ktk Maisha naamini Duniani tunapita na kila mmoja wetu yupo ktk safari ugumu ni kutangulia na Mwenyezi Mungu si wa kwako wala wakwang na ndio mana kila mmoja
anatimiziwa haja zake kwa nafasi yake Nataka nikwambie tuu ww kaka uliyeandika maneno hayo kwang leo kuwa ww ni wa Mwenyezi Mungu pia dua lako linawezekana kusikilizwa na likasikilizwa
Previous
Next Post »