USHAURI Kwenda Kwa Dada WEMA SEPETU Baada ya Kusema Anatamani Sana Kupata Mtoto Lakini Hawezi


Dada yangu Wema,
Salamu sana, nyingi na za upendo mkubwa zikufikie. Pole nyingi sana, it is sad to listen to what your heart is speaking about the reality of your life. Kwanza, that is relieving kwako kwa kuusemea moyo wako na hali yako. Inakupa moyo huru na uliopumua pumzi kubwa, ni ujasiri wa pekee na kwa hilo nakupongeza. Nakupongeza pia kwa kuonyesha moyo wako, licha ya kwamba unaumia kwa mengi, moyo wako si uliovunjika na kupondeka, sio uliopoteza matumaini na mapendo ndani mwako. Hilo ni paji la Kimungu ndani mwako na umeonyesha hilo kwa kutomlaumu Mungu bali kwa kumtumainia.
Personally I was touched, and my prayers are with you. Don't give up hope and trust which are in you. Maisha na hali za ubinadamu vina mipaka yake. Tumeumbwa na tupo jinsi tulivyo, na kwa njia ya hali zetu makusudio ya Mungu ni ya kipekee kwa kila mtu, malengo yake Mungu tunaendelea kuyang'amua siku hadi siku na kwa nguvu ya ajabu. 
Mungu azidi kukutia nguvu katika yote, harakati za maisha ya kila siku zipate Baraka zake, na kwa njia hiyo ukitambua what He calls you to do. For surely you will be our dada and mama to many other children who need your love and care as of what God has given you just for the sake of them. 
Kila jema dada yangu, nakutakia moyo mkuu

By Anonymous


Toa Maoni Yako
Previous
Next Post »