Mbowe kuachiwa huru?

Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Mawasiliano Dar es Salaam, inatarajia kutoa uamuzi kuhusu pingamizi la Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, la kupinga Mahakama hiyo kusikiliza mashtaka ya Ugaidi yanayowakabili, kwa maelezo kwamba haina mamlaka hiyo. MAELEZO YA MASHAHIDI: MBOWE ADAIWA KUTAFUTA MAKOMANDOO WA JWTZ KUMDHURU SABAYA
Previous
Next Post »