Baada Ya Kufungwa Mechi Kumi,Huyu Kocha Afukuzwa Kazi,David Moyes Ahusishwa Na Nafasi Yake.

Klabu ya La Liga ya Real Sociedad imemfukuza kazi kocha wao Jagoba Arrasate jumapili iliyopita baada ya kushinda mchezo mmoja tu ndani ya michezo kumi.

Klabu ya La Liga ya Real Sociedad imemfukuza kazi kocha wao Jagoba Arrasate jumapili iliyopita baada ya kushinda mchezo mmoja tu ndani ya michezo kumi.
Aliyekuwa kocha wa Manchester United David Moyes ndiye amehusishwa na kuchukua mikoba ya kocha huyu. Arrasate ameshindwa kushinda michezo yote ya mwezi September na October. 
Aliyekuwa kocha wa Manchester United David Moyes ndiye amehusishwa na kuchukua mikoba ya kocha huyu. Arrasate ameshindwa kushinda michezo yote ya mwezi September na October. 

ConversionConversion EmoticonEmoticon

:)
:(
=(
^_^
:D
=D
=)D
|o|
@@,
;)
:-bd
:-d
:p
:ng