Kiungo huyo ambaye alikuwa anatajwa kuwa kwenye listi ya wachezaji ambao wangesajiliwa na Yanga mwezi January, November 12 2014 amesaini mkataba wa miaka miwili kuichezea simba na kusema: “Bado nipo sana Msimbazi”
Amesaini mkataba huo Jana mbele ya Rais wa Simba, Evans Aveva na viongozi wengine wa Simba akiwemo Mwenyekiti wa Kamati ya ssajili ya Simba, Zacharia Hans Pope.
ConversionConversion EmoticonEmoticon