Rihanna ametumia instagram yake kutupa taarifa kuwa kwa sasa yeye ni Puma’s Creative Director Na Brand Ambassador na kwamba atakuwepo kwenye tangazo lao jipya ya mwaka 2015.
Rihanna ameingia kwenye orodha ya wasanii wa Rap na R&B
wanaojihusisha na ubalozi wa bidha kubwa za kampuni za viatu kama Kanye
West ambaye yuko na adidas, Kendrick Lamar ambaye yuko na Reebok na Meek
Mill ambaye yuko na Puma.
Next
« Prev Post
« Prev Post
Previous
Next Post »
Next Post »
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
ConversionConversion EmoticonEmoticon