Baada ya Babu yetu Mh Wasira kuaziriwa na suti mbele ya watu kwa kufunga
vifungu vibaya na kuwa gumzo kubwa mtandaoni na watu kumkejeli sana ,
unaambiwa sasa kaamua kuwakata watu vidomo kuanzia sasa designer wake atakuwa ni Sheria Ngowi ...Mambo ya Single Button na Taxdo kwa Kwenda Mbele...Kiintanational Zaidi
ConversionConversion EmoticonEmoticon