Habari kutoka chanzo cha kuaminika zilimiminika kwamba, baada ya kusambaa kwa picha hizo kuliibuka tafrani nyumbani kwa wapenzi hao, Kimara jijini Dar ambapo Siwema alidai kuondoka usiku wa manane akimwacha mtoto mchanga.
Kwa upande wa Siwema alisema: “Nay amenipa maelezo juu ya picha hizo ingawa tulikuwa tumefikia pabaya sana kiasi cha kutaka kuondoka kwake lakini kanielewesha.
ConversionConversion EmoticonEmoticon