Staa wa Bongo Movies, Kajala, ambaye wiki kadhaa zilizopita
alishambuliwa na kujeruhiwa usoni kwa chupa na kijana alieyedai kuwa ni
pombe zilimtuma vibaya, amesema licha ya shauri hilo kuwepo bado polisi,
binafsi amekwishamsamehe kabisa kiroho safi jamaa


ConversionConversion EmoticonEmoticon