kiwa ni sehemu ya kuchangamsha show ya Big Brother, wasanii tofauti
huingia ndani ya nyumba na kujichanganya na washindani wa Big Brother.
Hii imekuwa mara ya pili kwa msanii Diamond kutoka Tanzania kualikwa ndani ya jumba hili la Bba na sasa alikuwa na mwanamuziki maarufu kutoka Congo ‘Fally Ipupa’ . Awamu hii wasanii hawa wawili wameingia kwenye jumba la Bba na kuhamasisha kampeni ya ONE Campaign ya vijana na Kilimo.
Hii imekuwa mara ya pili kwa msanii Diamond kutoka Tanzania kualikwa ndani ya jumba hili la Bba na sasa alikuwa na mwanamuziki maarufu kutoka Congo ‘Fally Ipupa’ . Awamu hii wasanii hawa wawili wameingia kwenye jumba la Bba na kuhamasisha kampeni ya ONE Campaign ya vijana na Kilimo.
ConversionConversion EmoticonEmoticon