
Brooklyn mwenye miaka 15 alijaribiwa na Fulham mwaka jana, mwalimu wa soka aliyekuwepo uwanjani wakati wa majaribio ya Brooklyn anasema ni mchezaji mwenye uwezo wa kuja kutegemewa. Mpaka sasa mkataba wake ni wa muda tu ila mwakani kana ataonyesha uwezo atapewa dili kubwa zaidi lenye pesa nyingi.
ConversionConversion EmoticonEmoticon