Taarifa ya kituo cha ITV
imesema mafundi gereji wa Tegeta walifanya jitihada kutumia vifaa vyao
kukata mabati ya gari ili kuwatoa watu walionasa ndani ya gari iliyokuwa
na abiria.
Kamanda wa Polisi Kinondoni, Kamilius Wambura amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kuahidi kutoa taarifa zaidi kuhusu baadaye baada ya uchunguzi kufanyika.
ConversionConversion EmoticonEmoticon