
Intrgram baada ya mwimbaji
kutoka Marekani Chris Brown kuzuiliwa kuingia Canada na kusababisha
kusitishwa kwa show zake mbili ambazo alitakiwa kuzifanya Canada ndani
ya wiki hii.
Ommy Dimpoz ameonyesha njisi gani watanzania na mashabiki wake walilipokelea suala lake tofauti na kuonyesha kuwa watu wengi walimcheka na kumchamba wakiamini kuwa yeye ni mtu maarufu hivyo asingeweza kupatwa na suala hilo.
"Pole braza Kristofa, haya
ni Mambo ya kawaida ila Mwenzio nilivyozuiwa kuingia Nchini kwenu Basi
nilivyorudi kwetu nimechekwaaa,Nimechambwaa khaa,hawajuagi mambo ya
Uhamiaji hawajali we nani."
Wiki ya wapendanao msanii
Ommy Dimpoz alirudishwa Tanzania baada ya kuzuiwa kuingia Marekani kwa
kukosa vibali vinavyomruhusu kuingia nchi hiyo kufanya show
ConversionConversion EmoticonEmoticon