KATIKA ukumbi wa Escape One jijini Dar es Salaam, usiku wa kuamkia leo kulikuwa na uzinduzi wa video za wasanii nyota watatu, Mh. Temba na Chegge kwa pamoja wakiwa na video yao ya Kaunyaka, huku Madee akiionyesha kwa mara ya kwanza Vuvula, kazi ambazo ziliwapagawisha kwa kiwango kikubwa mamia ya mashabiki waliojazana ukumbini hapo.
UZINDUZI VIDEO YA MH.TEMBA, CHEGE NA MADEE WAFUNIKA ESCAPE ONE JIJINI DAR
KATIKA ukumbi wa Escape One jijini Dar es Salaam, usiku wa kuamkia leo kulikuwa na uzinduzi wa video za wasanii nyota watatu, Mh. Temba na Chegge kwa pamoja wakiwa na video yao ya Kaunyaka, huku Madee akiionyesha kwa mara ya kwanza Vuvula, kazi ambazo ziliwapagawisha kwa kiwango kikubwa mamia ya mashabiki waliojazana ukumbini hapo.
ConversionConversion EmoticonEmoticon