
na Baba yake ‘Mzee Michael’ kipindi akiwa mtoto na kuiandikia maneno kuwa yupo na baba yake mtanashati ambae amezaa chema na kujinasibu kuwa wanafanana.
"Enjoy na Throwback, Sina cha maana wala Jipya la ku post..! My handsome daddy & I....!Mzee Michael, Mzaa Chema, My Twinnie"
Asante sana Lulu kwa kushea nasi picha hii, tume-enjoy, hakika hii ni ThrowBack nzuri zaidi ya leo, kweli huyu ni pacha wako.
ConversionConversion EmoticonEmoticon