Baba mzazi wa mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini, Dully Sykes, Mzee Sykes
amefariki dunia leo akiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili, jijini Dar es
Salaam. Bongoclassictz blog inatoa pole kwa Dully Sykes na familia
nzima ya Mzee Sykes kwa msiba huu mzito. Bwana alitoa na Bwana ametwaa,
jina lake lihimidiwe!
Tanzia: Baba Mzazi wa Mwanamuziki Dully Sykes Mzee Sykes Afariki Dunia
Baba mzazi wa mwanamuziki wa Bongo Fleva nchini, Dully Sykes, Mzee Sykes
amefariki dunia leo akiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili, jijini Dar es
Salaam. Bongoclassictz blog inatoa pole kwa Dully Sykes na familia
nzima ya Mzee Sykes kwa msiba huu mzito. Bwana alitoa na Bwana ametwaa,
jina lake lihimidiwe!
ConversionConversion EmoticonEmoticon